Arbogasti
Arbogasti (alifariki 678 hivi) alikuwa mmisionari katika Alsace ya leo na askofu wa Strasbourg (leo nchini Ufaransa)[1].
Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
haririTanbihi
haririVyanzo
hariri- Ward, Donald (translator), The German Legends of the Brothers Grimm, Vol. II, Institute for the Study of the Human Issues, Philadelphia (1981), legend 437.
- Grattan-Flood, William. "St. Arbogast." The Catholic Encyclopedia. Vol. 1. New York: Robert Appleton Company, 1907. 14 Apr. 2013
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |